Bugals Edward
Member
- Jan 13, 2018
- 37
- 7
Marekani ufurahi umekuza, na wanataka kujitegemea,,,,
Kaa subiri Shukrani, usiwaze vikwazo
Eti kuzuia mitumba ni kuzuia biashara huria? Wamemsaidia vya kutosha kumlisha, sasa eti wanataka wajilishe, baba anagoma "kujilisha ni wizi mkubwa" kumbe baba kaona atazuiliwa kula wala kuchukua chakula kile alichokipenda,
Afu kumbezee jinga hili,,, yaani linakula chakula kingi changu afu linanipa kidogo,,,
msimamo thabiti ndio muongozo wa mafanikio tunayoyataka,,,
Tuondoke siasani
Kaa subiri Shukrani, usiwaze vikwazo
Eti kuzuia mitumba ni kuzuia biashara huria? Wamemsaidia vya kutosha kumlisha, sasa eti wanataka wajilishe, baba anagoma "kujilisha ni wizi mkubwa" kumbe baba kaona atazuiliwa kula wala kuchukua chakula kile alichokipenda,
Afu kumbezee jinga hili,,, yaani linakula chakula kingi changu afu linanipa kidogo,,,
msimamo thabiti ndio muongozo wa mafanikio tunayoyataka,,,
Tuondoke siasani