Watu wanahifadhi historia na kuirithisha kutoka kizazi mpaka kizazi ndiyo sababu leo hii Kuna nyumba kigamboni unaambiwa ndiyo aliyojificha JK mkubwa wakati wa jaribio la mapinduzi,How sure are they kwamba hayo maeneo ni yenyewe kama yalivyo kwenye maandiko ?
KabisaWatu wanahifadhi historia na kuirithisha kutoka kizazi mpaka kizazi ndiyo sababu leo hii Kuna nyumba kigamboni unaambiwa ndiyo aliyojificha JK mkubwa wakati wa jaribio la mapinduzi,
We jamaa unazingua, watu hawakumwamini yesu mwenyewe ndio waje kuamini majengo? Ndio tulivyoumbwa mkuuAsante kwa picha,
Kwanini wengine wapo hukohuko na bado hawaamini?
[emoji3][emoji3]We jamaa unazingua, watu hawakumwamini yesu mwenyewe ndio waje kuamini majengo? Ndio tulivyoumbwa mkuu
Tempted"The place where Jesus was tried"
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
ile kengele ya kikatoliki umeshaipata?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23]