Tuoneeni huruma maisha ni magumu sana

Tuoneeni huruma maisha ni magumu sana

jamesemm

Senior Member
Joined
Dec 24, 2024
Posts
116
Reaction score
105
Ni dunia isiyo na huruma kwa maskini. Mfumo umejaa watu wanaosema "tunatafuta wenye uzoefu," lakini hawampi yeyote nafasi ya kupata huo uzoefu. Mfumo unawafungia nje, halafu unawalaumu kwa kuwa nje.

Leo, wana njaa. Kesho, wana madeni. Kesho kutwa, hawana tumaini. Na wale waliowaangusha wanakaa juu wakiangalia, wakiwaambia "jaribuni tena."

IMG-20250217-WA0052.jpg
 
Ni dunia isiyo na huruma kwa maskini. Mfumo umejaa watu wanaosema "tunatafuta wenye uzoefu," lakini hawampi yeyote nafasi ya kupata huo uzoefu. Mfumo unawafungia nje, halafu unawalaumu kwa kuwa nje.

Leo, wana njaa. Kesho, wana madeni. Kesho kutwa, hawana tumaini. Na wale waliowaangusha wanakaa juu wakiangalia, wakiwaambia "jaribuni tena."

View attachment 3239639
Pole sana,
lakini fursa za ajira za uhakika mbona ni nyingi mno shambani ndrugu zango?🐒
 
Dunia haijawahi kuwa na huruma kwa yoyote.
Kila mmoja atalia kwa namna yake.
Yeah, ndiyo uhalisia....watu tujifunze kusimama wenyewe...
Unapoomba msaada au kutia huruma basi wampa chance mwenye nacho kukudhihaki,kukudharau na kujivisha uungu mbele ya macho yako,kitu kitakachopelekea ukate tamaa kabisa ya maisha ...
We must fight,we must be strong....no retreat no surrender 🙏
 
Ni dunia isiyo na huruma kwa maskini. Mfumo umejaa watu wanaosema "tunatafuta wenye uzoefu," lakini hawampi yeyote nafasi ya kupata huo uzoefu. Mfumo unawafungia nje, halafu unawalaumu kwa kuwa nje.

Leo, wana njaa. Kesho, wana madeni. Kesho kutwa, hawana tumaini. Na wale waliowaangusha wanakaa juu wakiangalia, wakiwaambia "jaribuni tena."

View attachment 3239639
Kila mtu atachanganyikiwa kwa wakati wake ni swala la mda tu
 
Ukitaka huruma rudi kwa mama yako.

Dunia haina huruma kwa mtu yeyote yule.

In the jungle of life salvation is largely on your hands.

You either go hard, go home or you die.

This world 🌍 is not for the weak and faint hearted.
 
Tema mate chini aise, maisha yana kupanda na kushuka. Ukibahatika kuyapata mapema usimuone mwingine kuwa hana akili.
Najua kuna kupanda na kushuka lakini MIaka kumi hapana aisee,. Tatizo wasomi wengi wako na mentality za kuajiriwa hawawazi hata outside the box afungue hata kijibiashara mdogomdogo ndani ya miaka 10 huwezi kuwa vilevile,. Tena wengine wanasahau kabisa na kama walisomaga
 
Nafasi ni chache, waombaji ni wengi, unategemea nani achukuliwe na nani asichukuliwe?
Mfano; nafasi 5, watu walioomba ni 500; kwa hesabu ya kawaida unategemea nini?
Hatima ya maisha yako iko mikononi mwako, hakuna atakayekuonea huruma kama wewe mwenyewe hujionei huruma; inakubidi utafute mbadala wa namna ya kuishi; kumbuka ata muuza nyanya sokoni ana familia na anaendesha maisha bila wasiwasi.
Msomi anatakiwa kutumia elimu aliyoipata darasani, kupambana na kukabiliana na mazingira yanayokuzunguka; kulia lia haisaidii.​
 
Najua kuna kupanda na kushuka lakini MIaka kumi hapana aisee,. Tatizo wasomi wengi wako na mentality za kuajiriwa hawawazi hata outside the box afungue hata kijibiashara mdogomdogo ndani ya miaka 10 huwezi kuwa vilevile,. Tena wengine wanasahau kabisa na kama walisomaga
Mkuu kuanzisha biashara sio rahisi kama kunywa maji...Mimi nakushauri acha kuwabeza mkuu haya maisha yana mengi aise.
 
Back
Top Bottom