[emoji41][emoji41][emoji41]Tena ndio wanaongoza
ni kweli kabisa mwaka 2010 hadi 2012 tulikuwa tunapata trick humu Jf tunakula internet bure kupitia VPN, wakaja kugundua wakapiga block ile mianya ilikuwa wazi.VPN inakazi nyingi jamani. Tatizo wengi mmeifaham kipindi cha uchaguzi baada ya Twitter kufunguliwa mkaona haina kazi tena soo msihukumu mtu kuwa anaitumia kuangalia pilau
CHA ASUBUHI
CHA ASUBUHI
VPN hadi leo?
utaangaliaje mikas bila hiyoo
Hivi hadi wadada wanaangalia zile mambo?
Wakuu mkimaliza mgoogle ili walau mjue matumizi zaidi ya VPN.Tena ndio wanaongoza
Mkuu hii ndio Jf.VPN inakazi nyingi jamani. Tatizo wengi mmeifaham kipindi cha uchaguzi baada ya Twitter kufunguliwa mkaona haina kazi tena soo msihukumu mtu kuwa anaitumia kuangalia pilau
[emoji4]umenikosha[emoji39]
Favorite search yako nmeipenda[emoji4]
Favorite search yako nmeipenda[emoji4]
Hawa mods sjui kwann hawaturudishii jukwaa letu tukajimwage.
Nimedindisha