Mama pretty
JF-Expert Member
- May 1, 2020
- 2,082
- 4,103
πππ[emoji849][emoji849]
Mkuu una hadi MAGEM? achana na mambo hayo piga kazi?[emoji851][emoji851]
[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji1312][emoji1312]Acha ubahiri update simu yako
Very beautiful kid[emoji3059][emoji7]
Mnanishawishi sasa[emoji39][emoji39]App bora sana , sio mpenzi wa social network ila LinkedIn imenifanya nipate exposure na kufahamiana na watu mbalimbali .
Hakuna mzee ni kazini tu na vingine vichache,though natumia vifaa vingineMkubwa unamiliki makampuni mangapi mbona Email nyingi namna hio au ni matangazo ya uber na bolt π€£π€£π€£
Karibu sanaMnanishawishi sasa[emoji39][emoji39]
Ahaa hongera sana bana kwa wingi wa Email namna hio mambo sio mabayaHakuna mzee ni kazini tu na vingine vichache,though natumia vifaa vingine
Sijui kuapdate nifundisheAcha ubahiri update simu yako
Mkuu una hadi MAGEM? achana na mambo hayo piga kazi?[emoji851][emoji851]
Mkuu hayo ma-notification simu haijakuwa nzito bado?
Hawa ndio wanapishanaga na magari ya mshaharaHivi kulimbikiza notifications ni fashion au[emoji81] nakumbukaga kuna dem alikuwa sms hazifungui zinabaki na sticker kama hivyo
Una hela ya bundleSijui kuapdate nifundishe
Anazisomea kwa ndani halafu hafunguiHawa ndio wanapishanaga na magari ya mshahara
Snapchat ina kazi gani?
This is seriously sarcasm!ππAhaa hongera sana bana kwa wingi wa Email namna hio mambo sio mabaya
Mkuu una Dropbox na drive halafu huna VAULT ?[emoji848][emoji848]