Anselm
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 1,710
- 291
Tokea wenye dhamana ya kuendesha mpira wa miguu wa Tanzania walipomteua Salum Mayanga kuwa kocha wa team ya Taifa nilipoteza imani kabisa na team hii pendwa na Watanzania wote bila kujali mapenzi yetu kwa vilabu vyetu.
Nikiwa kama mtu wa mpira kamwe ckuwahi kupumbazwa na matokeo ya mashindano ya COSAFA ambayo team yetu ya Taifa iliibuka kama mshindi wa 3,kwakuwa nilijua yale mashindano ni kama bonanza tu ambapo team zote shiriki ukitoa ya kwetu zilipeleka Wachezaji wa vikosi vyao vya 2 na wengine wenye program endelevu za soka vya 3 na vya 4,yaani kwaufupi hakuna team iliyopeleka team wanazozitumia kwenye mashindano yanayotambuliwa na CAF au FIFA ukitutoa sisi na ndo maana kwetu ilikuwa ni rahisi kuonekana tunapata matokeo.
Sasa niende kwenye hoja 1 kwa 1 kwanini ninamuona Mayanga kama mmoja kati ya makocha watakao'fail zaidi ktk hili jukumu alilopewa:-
1. Ni aina yake ya uteuzi wa team,ni ya kushangaza na sijapata kuiona toka nimeanza kufatilia masuala ta uteuzi wa team za Taifa.
Duniani kote team za Taifa hubebwa na wachezaji waliokomaa kimashindano na kuthibitika kuchangia matokeo mazuri ya Club wanazotoka,huwezi kumtegemea Boko akuletee matokeo wkt kwa kipindi kirefu alikuwa majeruhi kwahiyo bado hajarejea kwenye fitness yake ya kawaida,au kutupangia team inayotegemea ushambulizi wa Stamili Mbonde ni kututania Watanzania,huyu Stamili Mbonde amefunga magoli mangapi kwenye ligi yetu ya ndani kiasi cha kutufanya tumwamini kuwa atatufungia magoli kwenye international games,hiv kweli mchezaji anayeshindwa kuzifunga Ndanda na Majimaji ndo Mayanga anataka amtumie kuzifunga Rwanda na The Cranes ya Uganda?
Kwenye Ligi iliyomalizika kuna wachezaji wengi walioonyesha walau wana mbinu za kufunga licha ya kuwa walikuwa kwenye vilabu vidogo,watu kama Abdulhaman Mussa(mfungaji bora sambamba na Msuva),Rashid Mandawa,Kelvin Sabato na Omari Mponda wangejumuishwa wangeweza kutupa kitu cha tofauti na hao akina Boko wake. Hata Ibrahim Ajibu angekuwa na mchango chanya zaidi kuliko baadhi ya hao washambuliaji alio nao kwenye team.
2. Upangaji wa team/kutokuwa na uwezo wa kusoma mchezo na kufanya Sub stahili (Super Sub) ni moja ya weakness zake nilizoziona anzia kwenye COSAFA mpk kwenye mechi ya jn,mtu unaona kabisa kuwa team imepoteza mwelekeo kwenye kiungo na mbele,una wachezaji wenye uwezo wa kucheza nafasi hiyo na wazuri hata kwenye kufunga lkn huwatumii kabisa,ukiuliza utaambiwa falsafa,falsafa gn ya kipuuzi hivyo...
3. Kutojua atumie wachezaji gn kwenye mashindano gn: Anakwenda kinyume kabisa na makocha wenzake,badala ya kupeleka vijana wa Serengeti Boys wengi kwenye COSAFA yeye kapeleka full mziki hlf kwenye CHAN ndo anakuja kuwajumuisha hawa watoto tena wakiwa wametoka kwenye mapumziko ya muda mrefu,hlf Watanzania tunataka tuamini kuwa aina hii ya utumiaji wa wachezaji itatupeleka CHAN,its none sense.
4. ...........
Ngoja niishie hapa kwanza,J2 njema watu wenzangu wa mpira.
Nikiwa kama mtu wa mpira kamwe ckuwahi kupumbazwa na matokeo ya mashindano ya COSAFA ambayo team yetu ya Taifa iliibuka kama mshindi wa 3,kwakuwa nilijua yale mashindano ni kama bonanza tu ambapo team zote shiriki ukitoa ya kwetu zilipeleka Wachezaji wa vikosi vyao vya 2 na wengine wenye program endelevu za soka vya 3 na vya 4,yaani kwaufupi hakuna team iliyopeleka team wanazozitumia kwenye mashindano yanayotambuliwa na CAF au FIFA ukitutoa sisi na ndo maana kwetu ilikuwa ni rahisi kuonekana tunapata matokeo.
Sasa niende kwenye hoja 1 kwa 1 kwanini ninamuona Mayanga kama mmoja kati ya makocha watakao'fail zaidi ktk hili jukumu alilopewa:-
1. Ni aina yake ya uteuzi wa team,ni ya kushangaza na sijapata kuiona toka nimeanza kufatilia masuala ta uteuzi wa team za Taifa.
Duniani kote team za Taifa hubebwa na wachezaji waliokomaa kimashindano na kuthibitika kuchangia matokeo mazuri ya Club wanazotoka,huwezi kumtegemea Boko akuletee matokeo wkt kwa kipindi kirefu alikuwa majeruhi kwahiyo bado hajarejea kwenye fitness yake ya kawaida,au kutupangia team inayotegemea ushambulizi wa Stamili Mbonde ni kututania Watanzania,huyu Stamili Mbonde amefunga magoli mangapi kwenye ligi yetu ya ndani kiasi cha kutufanya tumwamini kuwa atatufungia magoli kwenye international games,hiv kweli mchezaji anayeshindwa kuzifunga Ndanda na Majimaji ndo Mayanga anataka amtumie kuzifunga Rwanda na The Cranes ya Uganda?
Kwenye Ligi iliyomalizika kuna wachezaji wengi walioonyesha walau wana mbinu za kufunga licha ya kuwa walikuwa kwenye vilabu vidogo,watu kama Abdulhaman Mussa(mfungaji bora sambamba na Msuva),Rashid Mandawa,Kelvin Sabato na Omari Mponda wangejumuishwa wangeweza kutupa kitu cha tofauti na hao akina Boko wake. Hata Ibrahim Ajibu angekuwa na mchango chanya zaidi kuliko baadhi ya hao washambuliaji alio nao kwenye team.
2. Upangaji wa team/kutokuwa na uwezo wa kusoma mchezo na kufanya Sub stahili (Super Sub) ni moja ya weakness zake nilizoziona anzia kwenye COSAFA mpk kwenye mechi ya jn,mtu unaona kabisa kuwa team imepoteza mwelekeo kwenye kiungo na mbele,una wachezaji wenye uwezo wa kucheza nafasi hiyo na wazuri hata kwenye kufunga lkn huwatumii kabisa,ukiuliza utaambiwa falsafa,falsafa gn ya kipuuzi hivyo...
3. Kutojua atumie wachezaji gn kwenye mashindano gn: Anakwenda kinyume kabisa na makocha wenzake,badala ya kupeleka vijana wa Serengeti Boys wengi kwenye COSAFA yeye kapeleka full mziki hlf kwenye CHAN ndo anakuja kuwajumuisha hawa watoto tena wakiwa wametoka kwenye mapumziko ya muda mrefu,hlf Watanzania tunataka tuamini kuwa aina hii ya utumiaji wa wachezaji itatupeleka CHAN,its none sense.
4. ...........
Ngoja niishie hapa kwanza,J2 njema watu wenzangu wa mpira.