Tuongee ukweli hapa 🀣🀣

si nilkuja na kimbinyiko ukankataa kisa mlafi nkarud na super feo πŸ™„πŸ™„
Leo uninasaidiaje sasa πŸ₯ΊπŸ₯ΊπŸ₯ΊπŸ₯ΊπŸ₯ΊπŸ₯ΊπŸ₯ΊπŸ₯ΊπŸ₯ΊπŸ₯ΊπŸ₯Ί
 
Kojoa ulale 😌😌
Mi sipendi dharau
manyanyaso masimango siwezi siwezi

Dharau manyanyaso dharau masimango siwezi siwezi
πŸ₯ΊπŸ₯ΊπŸ₯ΊπŸ₯ΊπŸ₯Ί
 
Mi sipendi dharau
manyanyaso masimango siwezi siwezi

Dharau manyanyaso dharau masimango siwezi siwezi
πŸ₯ΊπŸ₯ΊπŸ₯ΊπŸ₯ΊπŸ₯Ί
Kumbe ndoman unapenda mishangaz,,unadeka sanaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£
 
Kumbe ndoman unapenda mishangaz,,unadeka sanaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£
Unanisimanga na kuninyanyasa sasa mi siwezi masimango πŸ₯ΊπŸ₯ΊπŸ₯ΊπŸ₯Ί
 
Kwahyo umekosa picha ya binti yake mama Kimbo?
 
bas kam hutaki kusimangwa futa nambangu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£
Mda mwingine nakaa chini nawaza...
Hivi kwanini ms R uliondoka......
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mi nakereka na hiyo tabia ya urafi sasa akafu nilikua na wenzangu unazani wangekufukiliaje πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Yaani sitarud tena uko mm,, siwezi vumilia njaa mim
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Yaani sitarud tena uko mm,, siwezi vumilia njaa mim
Kwani umeambiwa hautikula...
Kula utakula ila sasa kuna vitabia lazima uvifiche nikiwa na wenzangu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kwani umeambiwa hautikula...
Kula utakula ila sasa kuna vitabia lazima uvifiche nikiwa na wenzangu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
bas ungenunua chakula kibaya apo ningeweza kuvungaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
bas ungenunua chakula kibaya apo ningeweza kuvungaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mi napenda vitamu sasa....
Kibaya kama kipi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mi napenda vitamu sasa....
Kibaya kama kipi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
aseee ukitaka nisile niwekee dagaa πŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ntashiba miaka buku
 
aseee ukitaka nisile niwekee dagaa πŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ntashiba miaka buku
Yaaani dagaa upendi... Weee mdada wa ajabu sana aiseee
daah upo opposite na me sasa itakuaje πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Yaaani dagaa upendi... Weee mdada wa ajabu sana aiseee
daah upo opposite na me sasa itakuaje πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
tuachane kuanzia leo m nawew basπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…