Tuongee ukweli: Soko la pesa la Tanzania (UTT, Hisa N.k) haliwezi kukufanya ukawa tajiri kwa mtaji wako mdogo

Ni ukweli usiopingika kuwa ukitaka kuifaidi hiyo mifuko lazima uwe na si chini ya million 500 kwa miaka 25 ili kila mwezi upate million 5. Million 5 zinaweza kukulisha ila siyo kukufanya uishi kipapaa. Chini ya hapo, hutaifaidi hiyo mifuko.
 
Where are the Customers' Yachts ?

"Once in the dear dead days beyond recall, an out-of-town visitor was being shown the wonders of the New York financial district. When the party arrived at the Battery, one of his guides indicated some handsome ships riding at anchor. He said, 'Look, those are the bankers' and brokers' yachts.' 'Where are the customers' yachts?' asked the naïve visitor."
 
Mpk unaingiza 5M kwa uwekezaji tu hao wajukuu lazima sio njaa kali hapo
Matumizi ya wakati huo ni pamoja na magonjwa ya uzeeni yenye gharama, kurepair etc. Bora kupata 160K ukiwa kijana kuliko hiyo na matumizi kuwa makubwa ya uzeeni. Usisahau wakati huo hata watoto wazuri unakula kwa macho na michepuko haikubali kuja kwa Bus bali ndege.
 
You are correct.
 
Kwani mfano UTT ni mifuko miwili tu ndiyo inatoa gawio hiyo mengine minne, haitowi gawio.

Hivyo siyo kila anayeweka pesa uko ni kwa lengo la kupata gawio, binafsi nimeweka umoja ili nikuze mtaji wangu sasa utasemaje UTT ni mbaya ??
 
Mijadala yote ya aina hii huwa iko based kwenye ONE WRONG ASSUMPTION!

Watu wengi sana wanaofanya biashara hua wana assume kwamba kwavile wao wameweza kufanya biashara na kufanikiwa, basi MTU YOYOTE anaweza nae kufanya biashara na kufanikiwa! Mfano mleta mada anaona kwavile yeye ameweza kukuza 10m ikafika 40m, basi mtu yoyote yule mwenye 10m akifanya biashara nae atapata 40m, kitu ambacho SIO KWELI HATA KIDOGO..

JAMANI, BIASHARA NI KIPAJII... SIO KILA MTU ANAWEZAA..! TUACHENI TUSIOWEZA TUWEKEZE HUKO UTT, fixed deposits, nyumba za kupanga nk hata kama tunapata faida ndogo ni sawa, kuliko kuchoma mitaji yetu midogo kwenye biashara tusizoziweza.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] kwani wenzetu mnaishi wapi?
5M monthly kweli usiishi kiboss?? Kila siku maximum 160k
Mtuu mwenye pesa idol mpaka 500m kweli unaona kwa nwenzi 5m ni pesa nyingi ya kumfanya aishi kudoni kweli, mbona watu tunamaisha magumu loh,......mtu kama huyu ana watoto wa 3 wana soma Feza ada ni 15 to 11m bill za maji na umeme kwa mwezi pamoja na house mantainance mbona hiyo pesa ndogo sanaa loh.
 
 
Hapa wataalam wangeweza kusema, bora ungeweka kwenye stock/shares mfano CRDB, kwa kuwa umoja na wenyewe wanaenda ku-invest kwenye shares! Ila mimi si mjuvi sana wa sector!
Muwe mnajisomea ili mfiche ujinga sometimes. Iko wazi kabisa,wewe binafsi unaweza kwenda sokoni moja kwa moja bila kupitia UTT. Lakini faida utakayo pata ni ndogo ukilinganisha na yule aliye wekeza kupitia UTT.
 
Mr Liverpool kitendo cha kusema tu june 2023, uzi ulitakiwa uishie hapo.
Kitendo cha kusema IQ option ukafanya forex tena kwa dollar 200.
Hapo tu uzi wako ulitakiwa uishie. Nakushauri, endelea na biashara yako ya milioni 40
Umeelewa lakini mada yenyewe?
Ndio mnamwambia bodaboda wa elfu 10 kwa siku aende UTT?

#YNWA
 
unauhakika kozi ulisomea uchumi mkuu? compounding interest unaielewa vyema inavyo piga kaz there is no wonder ulipigwa forex inaonekana unapenda utajir wa chap kitu ambacho kimewaponza kina meek mill
Kwa mfano wangu huohuo
Kuna utofauti Kati ya Compound interest ya Mkurugenzi/boss wako na mdada wenu wa kazi.

Jikite kwenye mada, hebu tengeneza schedule ya house girl kuwa tajiri kwa hizo compound interest akiwa na miaka 25.

Usisahau LIFE SPAN yetu.

#YNWA
 
Wanao make hizo millions unadhani ni hawa bodaboda na ma-house girl.

Hebu tafuta taarifa ya Rostam (Mirambo holding) alivyouza hisa zake za Vodacom na kuzinunua tena

Halafu jilinganishe na wewe uniambie UTAFIKA LINI na hivyo vipande vya buku 10

#YNWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…