Ngararimu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2011
- 288
- 500
Wana JF mimi ni mlipa kodi wa tanzania ambaye naumia sana kila ninapofikiria namna ya kutimiza jukumu langu la kikatiba la kulipa kodi. sababu zinazonikera zipo nyingi nimeona ni vizuri nianzishe uzi huu ili tuorodheshe kero zetu na mapendekezo ya kuondoa hizi kero tuliyo nayo huenda TRA wakayachukua na kuyafanyia kazi ili kutupunguzia shida.
Pia kama TRA watazifungia macho basi zitakuwa zimewekwa wazi ili members ambao ni wabunge waliomo humu jukwaaani waweze kuzichukua waende nazo mjengoni kikao kijacho cha bajeti.
karibuni tuchangie.
1. kodi kubwa mno inatozwa kutoka kwenye pato la ajira PAYE
- PAYE ishuke kutoka asilimia 14 mpaka 10 na jitihada zielekezwe katika kuhimiza wafanya biashara waliosajiliwa VAT watumie mashine za Kutolea risiti kikamilifu ili kuongeza kodi ya VAT inayolipwa na walaji kila mwezi - hatua hii itaziba pengo la kushuka kwa PAYE
2. ..........................................................................
3............................................................................
Pia kama TRA watazifungia macho basi zitakuwa zimewekwa wazi ili members ambao ni wabunge waliomo humu jukwaaani waweze kuzichukua waende nazo mjengoni kikao kijacho cha bajeti.
karibuni tuchangie.
1. kodi kubwa mno inatozwa kutoka kwenye pato la ajira PAYE
- PAYE ishuke kutoka asilimia 14 mpaka 10 na jitihada zielekezwe katika kuhimiza wafanya biashara waliosajiliwa VAT watumie mashine za Kutolea risiti kikamilifu ili kuongeza kodi ya VAT inayolipwa na walaji kila mwezi - hatua hii itaziba pengo la kushuka kwa PAYE
2. ..........................................................................
3............................................................................