umelizika wewe chariii ya Arachuga?Afadhali anacho ktu cha kukalia
Mkuu nikishampa na wewe utamtafuta kwa mda wako utampamkuu taratibu kuna kazi pia na mimi nataka nimpatie.
sawa mkuu tuzidi kujuzana.Mkuu nikishampa na wewe utamtafuta kwa mda wako utampa
hata mie pia nataka kuwa kama waomhhh mwapenda kupewa nambaa huyo pale utakuta kapitiwa sana
shunie ntafutie no tafasaliSamsun ye ni nan? au ndo mond
.....bafu mbwembweWanasemaga nyumba choo
Na choo chenyewe kinategemea.Wanasemaga nyumba choo
choo kinaweza kuwa bafu...lakini bafu haliwezi kuwa choo......bafu mbwembwe
Si uende insta kwenye page yake uingie insta direct jifanye unataka kumpa kazi ya udj ila zingatia uwe na muonekano sio sura kama masoud sura mbaya [emoji30]shunie ntafutie no tafasali
Ha ha ha hachoo kinaweza kuwa bafu...lakini bafu haliwezi kuwa choo.
he he he he naomba ufanye kwa niaba yangu naomba uwe mjumbe wanguSi uende insta kwenye page yake uingie insta direct jifanye unataka kumpa kazi ya udj ila zingatia uwe na muonekano sio sura kama masoud sura mbaya [emoji30]
Mkuu nataka nimlete Songea kwa gharama yoyote ile . kamauko tayari naomba uwe wakala wanguMkuu wambeke,
Mishe vipi?
Hiyo kazi hauwezi achana nayo pamabana na watoto wa songea Mkuu.
Mkuu nimemua pesa yangu ya dagaa yoote huyu mtoto aleManyangema wengi ila hawana mkwanja.
Kama una mkwanja wa kutosha hakika yule mtoto unang'oa kiulani tu Mkuu.
HahahahahahMkuu nataka nimlete Songea kwa gharama yoyote ile . kamauko tayari naomba uwe wakala wangu