Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmh! ila kunaKigamboni Kam unaelekea kibada Chaka linaitwa cape joint pub ni hatar vibe kuanzia j3 had jpil chupi aina zote zinapatkana Alf ili Chaka Kuna Hadi wagen Yan co wabongo watoto wakimantoni ndio chamber hii
Ukimwi upo popote mkuu hakuna sehem ya starehe ambayo hakuna ukimwiMmh! ila kuna
UKIMWI HAPO SIYO Mchezo
Naona uyu anataka mbususu Kama mziki ata geto unachezaUnataka watoto wa kula mbususu ama kucheza nao mziki tu? Huko Kenye Ndomu zimeadimika vipi wewe unazo tayari hapo?
Kwa Kigamboni Camp Joint papo lit sana, weekends panawaka kinoma noma. Hakuna cha Liquid, Maasai, Escrow, Nolasco, Facebook and the like..Kigamboni Kam unaelekea kibada Chaka linaitwa cape joint pub ni hatar vibe kuanzia j3 had jpil chupi aina zote zinapatkana Alf ili Chaka Kuna Hadi wagen Yan co wabongo watoto wakimantoni ndio chamber hii
Pweza pazuriKigamboni kuna pweza inabamba sana afu kuna watt wa ifm kama wote
Viwanja vya masaki vyote vina pisi
Mziki wa kuchezea ghetto hata haunogi raha ni kubambia kidogo pia, sasa ghetto atabambia friji? Ngoja aseme anataka mbususu ama dancing with pisi kali🤪Naona uyu anataka mbususu Kama mziki ata geto unacheza
Sas ukishabambia final lazm utataka kwenda nae masela tunafataga mbususu na c kingine Yan nkickiaga mwana eti anaenda viwanja viwanja kufata mzik na kubambia Alf urud tu geto mwenyew aiseeh huo ni uboya Bora ulale tuMziki wa kuchezea ghetto hata haunogi raha ni kubambia kidogo pia, sasa ghetto atabambia friji? Ngoja aseme anataka mbususu ama dancing with pisi kali[emoji2957]
Nakuja kukuvizia kiwanja chako kile cha ubungo nikubahatishe kwa instinct zangu then nikubambie huku nakuuliza uniambie ni nini kina trend jf..Mziki wa kuchezea ghetto hata haunogi raha ni kubambia kidogo pia, sasa ghetto atabambia friji? Ngoja aseme anataka mbususu ama dancing with pisi kali[emoji2957]
Hahaa wanabambiwa wenye chura mkuu, siye wengine tunatulia pembeni tu tunacheza na mabega badala ya mauno 😂😂Nakuja kukuvizia kiwanja chako kile cha ubungo nikubahatishe kwa instint zangu then nikubambie huku nakuuliza uniambia ni nini kina trend jf..
[emoji23][emoji23]aya bhana.Hahaa wanabambiwa wenye chura mkuu, siye wengine tunatulia pembeni tu tunacheza na mabega badala ya mauno [emoji23][emoji23]
He he heHahaa wanabambiwa wenye chura mkuu, siye wengine tunatulia pembeni tu tunacheza na mabega badala ya mauno 😂😂
Pweza ipo sehem gani?...nipeni locatiin vzr kesho nivuke majiKwa Kigamboni Camp Joint papo lit sana, weekends panawaka kinoma noma. Hakuna cha Liquid, Maasai, Escrow, Nolasco, Facebook and the like..
Ukitaka good times pia sogea Pweza formerly Chadibwa kwa Kigamboni, they have done some good work with the place aisee, nice setting, drinks, the beach, totoz, shisha/sheesha smoking joints........
Na unakuta kazi yake hakuna posho Wala ndondo katikati ya mwezi..atakuja kujuta aseee tarehe 15Mkuu, mshahara tumia taratibu.
Mwezi bado mrefu.