Nna rafiki wangu wa kike, Mara nying huwa anapenda kuwa karibu na mie, kunipigia simu na text za mara kwa Mara..
Bt nmegundua mara nyingi nkiwa nae huwa nakuwa kama sina "swaggz" na naishiwa "poz"..
Bt kikubwa ni kwamba mara nyingi huwa nakosa story na vitu vizur vya kumwambia vya kumvutia,,
Sasa kama vp naomba mdrop experience zenu mliowazoefu wa hizi mambo za kujichanganya,
Ni story zp huwa zna mvutia mpenzi wako..??
Sent using Jamii Forums mobile app
Bt nmegundua mara nyingi nkiwa nae huwa nakuwa kama sina "swaggz" na naishiwa "poz"..
Bt kikubwa ni kwamba mara nyingi huwa nakosa story na vitu vizur vya kumwambia vya kumvutia,,
Sasa kama vp naomba mdrop experience zenu mliowazoefu wa hizi mambo za kujichanganya,
Ni story zp huwa zna mvutia mpenzi wako..??
Sent using Jamii Forums mobile app