BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
tunakusubiri...........Nakuja
Karibu mkuu...unajua bwana nmegundua watu weng wanafanikiwa ila weng wao sijui kwann hawatoi ushirikiano kusaidia ideas zao na wao walipita humo humo sjui hua wanataka wafanikiwe wao tu ama vipi....Nakuja
Hello wakuu...habar zenu, kwa wale wajasiriamali wenzang na my fellow vijana wanaowaza kujiajiri na wale ambao wamesha anza kujiajir na wame advance katika stage nyingine tusaidiane kupeana dili na biz ideas za angalau kupata faida ya 50,000/= per day. Asanten na karibuni.