Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Naomba like yanguWatu wajf mseme mtu vizuri na mpe like yake .
Mie ninao wengi nawapa team yote ya JamiiForums heri ya mwaka mpya kuanzia director , manager , na wafanyakazi wote wa jf . ERoni , Glenn DeepPond sophy27 Cillah mzabzab Depal Lenie Extrovert Unique Flower Kelsea To yeye Love Doctor Lovelovie Chakorii Bujibuji Simba Nyamaume @wachagaa wote.
Ujumbe mkiwa mnatoapost zenu au kulike kushare mnaleta mvuto kabisaa.
Demi you are my sunshine .na Asprin Daby .
Happy new year
Maua huvutia nyuki wengi sana ujue🤣
Cillah naona unalima miwa karibu na shule ya msingi..utakomaWatu wajf mseme mtu vizuri na mpe like yake .
Mie ninao wengi nawapa team yote ya JamiiForums heri ya mwaka mpya kuanzia director , manager , na wafanyakazi wote wa jf . ERoni , Glenn DeepPond sophy27 Cillah mzabzab Depal Lenie Extrovert Unique Flower Kelsea To yeye Love Doctor Lovelovie Chakorii Bujibuji Simba Nyamaume @wachagaa wote.
Ujumbe mkiwa mnatoapost zenu au kulike kushare mnaleta mvuto kabisaa.
Demi you are my sunshine .na Asprin Daby .
Happy new year
Wewe ukivutia sina shida, ila mume wangu mimi jamani😭😭😭😭Maua huvutia nyuki wengi sana ujue🤣
Yaani😭😭😭😭😭Cillah naona unalima miwa karibu na shule ya maingi..itakoma
Unique Flower ni mjanja anajuq ladha ya miwa🤣🤣
Wewe ukivutia sina shida, ila mume wangu mimi jamani😭😭😭😭
Atajanitoa roho huyu mwanaume🙆🙆
Huyu mwanaume nishapata nae shida sana walah!! Nikajua amezeeka sasa atakuwa wangu peke yangu ila holaaa🙆🙆🙆Naomba nikupe ukweli mchungu.
kuna gharama kubwa kupendwa na mwanaume mwema au mke mwema.
Kumbuka huo wema wanauona wenzio nao wanatamani kupata kitu chema.
Vumilia ndg yangu.
Vinginevyo tafuta Wasira wa peke yako🤣🤣😍
Hehehe hee heee ... TRAB na TRAT.
Hiloo lichonganishiCillah naona unalima miwa karibu na shule ya msingi..utakoma
Unique Flower ni mjanja anajuq ladha ya miwa🤣🤣
Huyu mwanaume nishapata nae shida sana walah!! Nikajua amezeeka sasa atakuwa wangu peke yangu ila holaaa🙆🙆🙆
Si unakumbuka alikwambia kufika hapa ni kwa neema tu!!!
Naomba like yangu
Yah ! Ndio wapo kichwani sana mf. Depal , lenie , wanacomment unafurahia kila daily so wapo kichwani
Pambania kombe mwananguHiloo lichonganishi