Tupeane link za wasanii mbalimbali

JEKI

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
4,845
Reaction score
2,957
Kama kichwa kinavyosema, huu ni uzi wa kupeana mchongo wa namna ya kuwapata wasanii mbalimbali ili kuwatumia katika biashara mfano za kujipromote au kuandaa tamasha. Pia tusaidiane kuunganisha nguvu ili kupunguza gharama pale itakapobidi, mfano kama ni Arusha tunaungana kumleta kwa show au la.

Wenye connection karibuni.
 
Wazo zuri mkuu,una milioni ngapi mkuu tulete msanii hapo ulipo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…