Tupeane maarifa ya biashara ya butcher

MWONA MBALI

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2016
Posts
460
Reaction score
611
Wadau, natamani sana kupata maarifa ya biashara ya butcher. Naombeni sana wenye maarifa na ujuzi nayo, kuanzia kwenye upatikanaji wa vibali na maarifa ya biashara kiujumla.

Je, ni mtaji wa kiasi gani mtu anaweza kuanza nao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…