Tupeane maujanja ya kupenga kamasi kama huna kitambaa

Civilian Coin

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2012
Posts
2,305
Reaction score
4,380
Mda mwengine kamasi yanachuruzika afu upo mbele za watu yani mi uwaga nafuta kwa shati au kwa mkono tu
 
Asa mda mwengine unakuwa upo kwenye daradara afu watu wapo kilaa sehemu apo unafanyaje kupenga kamasi na huna kitambaa
 
Umenikumbusha o level. Ticha wa phys alikuwa, anafundisha uku ana mafua asa ach@pia akasema kamacity of the body
Apo ndo nkasema kamasi halina adaabu
 
Asa mda mwengine unakuwa upo kwenye daradara afu watu wapo kilaa sehemu apo unafanyaje kupenga kamasi na huna kitambaa
Unapengea mkono wa kulia halafu unampaka kwenye matako abiria mwingine halafu yakobaki kidogo unamsalimia mtu kwa kushikana mikono.!
Mie huwa nafanya hivyo fresh yaani hata kama umemaliza kukuna pu.mbu au kuchezea boro we ukikutana na mtu msalimie kwa kushikana mikono.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…