Vevofhd za nnyfch
Member
- May 23, 2022
- 5
- 3
Natumai muwazima wa afya .Kuna wakati/ama umri ambao kuna jambo unaona ungelifanyaga lingekusaidia zaidi mbelini ama kukuweka fiti kiuchumi .Ulifikiria jambo gana? ukiwa na umri kati ya miaka (19~22)?????
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo umenena vemaKama kuna namna unaweza shika hela flani zuia hata ekali moja ya shamba, haijalishi ni wapi just fanya hivyo. Usije kushukuru mtu yeyote, jishukuru mwenyewe after that.