Tupeane mawazo

Joined
May 23, 2022
Posts
5
Reaction score
3
Natumai muwazima wa afya .Kuna wakati/ama umri ambao kuna jambo unaona ungelifanyaga lingekusaidia zaidi mbelini ama kukuweka fiti kiuchumi .Ulifikiria jambo gana? ukiwa na umri kati ya miaka (19~22)?????
 
Kama kuna namna unaweza shika hela flani zuia hata ekali moja ya shamba, haijalishi ni wapi just fanya hivyo. Usije kushukuru mtu yeyote, jishukuru mwenyewe after that.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…