Tupeane Mbinu za Jinsi ya Kupanda na Kutumia Mabasi ya Mwendokasi

Tupeane Mbinu za Jinsi ya Kupanda na Kutumia Mabasi ya Mwendokasi

MaT2B

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2019
Posts
658
Reaction score
2,081
Hii ni kwa watumiaji wa Mabasi ya Mwendokasi tuu jijini DSM.

Kwa kuwa Serikali haina mpango wa kupunguza adha inayotukabili abiria wa mabasi haya.

Na kwakua sisi abiria hatuna mpango wakuilazimisha serikali kufanya hivyo.

Ni vyema sisi abiria tukapeana mbinu mbalimbali, zitakazotusaidia kama
- kutuepusha kuchelewa
_kuepuka kupata majeraha
- kuepuka wizi. N.k

MFano. Ukiwa unatoka kimara unaenda ubungo, usipande mwendokasi panda bajaji. Kuepuka kusumbua watu.
 
Nadhani suluhisho ni kuendelea kutumia usafiri mbadala wa mwendo kasi kama daladala/pikipiki na bajaji


kwa BRT hatukujipanga
 
Siji panda hayo magari tena!!! Nilikuja huko mjini nikakata tiketi kituo cha msimbazi niende shikilango niwahi basi za kuja Dom... asee kumbe mradi unaendeshwa na basi tatu nilikaaa kituoni mpaka nikaamua kuondoka na kudaka boda iniwaishe.
 
Siji panda hayo magari tena!!! Nilikuja huko mjini nikakata tiketi kituo cha msimbazi niendende shikilango niwahi basi za kuja Dom... asee kumbe mradi unaendeshwa na basi tatu nilikaaa kituoni mpaka nikaamua kuondoka na kudaka boda iniwaishe.
Pole sana. Usafiri huu tunautumia sababu hatuna mbadala.
 
Back
Top Bottom