Tupeane Mikasa ya Mapenzi: Kwanini pamoja na kumnyandua kimtelezo mara kadhaa siku hizi mademu wana nguvu ya kupotezea?

Siku hizi unatakiwa uwe na uwezo wa kumtunza pia. Hata kama unapiga show kali, endapo huwezi kumhudumia hata kwa vidogo tu basi hapo Mwanaume unakua hauna maana. Ingawa wachache wana bahati ya kugandwa hata kama hawa provide chochote. Haha
 
muda unakwenda kijana ukija kuzinduka wenzako wamesharauka

nakumbuka kipindi cha ujana wetu kuna waliokua kama wewe sasa ni mambo ya malamiko tuh
Ulicho kisema ni cha msingi sana ujana usipo utumia kwa umakini unaweza kuja kujuta.Mm nilizibuka nilikua nabadili wanawake km nguo honga sana hela.Nashukuru mke wangu aliamsha ugomvi mzito ambao ulinifanya nikae chini nijitafakali na pia watu kunisema ndo nikaacha ujinga na kuamnua kufanua maendeleo ya familia yangu.
 
😂😂😂😂 Nikiachika nakuja kukung’ang’ania! Si unajua hainaga makombo? 😀🤸🏻‍♂️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️
Wow fanya visa uachike uje tubebishane nakuahidi hutojutia

Uzuir mimi masingo maza nawapokea
 
SubhanaLlah , ramadhani yote nije na uzi wa namna hiyo ! mimi sijawahi kuwa na ID zaidi ya hii miaka yote hapa Jf ..

Satoh Hirosh na Maghayo The Mongo Khaan njoeni muoeni mtu mwingine kanihusisha na ID ambayo sio yangu.
Tatizo la kuwa na ushikaji na Genta ndiyo matokeo yake haya.

Kuna namna tangu Genta amekuwa mwanao na wewe unaonekana kama una kibunda cha I'd.

Au nasema uongo baharia Maghayo ?
 
The problem I want true love, so oftenly I hide under low profile, so mostly I come across fake partners, and the story ends there, no sooner had she parts company I reveal my belongings na siwapeagi second chance.
Woiiiiiiih!!!
 
Narudia na kukazia, PESA iwepoo.
Hayo mengine ni nyongeza tyuuh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hizo mara tatu zinatosha anaenda kumpa mwingine.
 
Hapo unakutana na wauzaji walio jificha kwenye kivuli cha mapenzi. Zinduka unaibiwa
 
Unakutana na wanawake ambao wanaona wanaume wa dizain yako n rahis kuwapata.au.wanachokpata kwako wanaweza kukipata kwa wenzako 3+ sa wanaona haina haja..
ila mwanamke ukmpatia hata uspompa hela atakaza ila siku 2 hatoboi lazima akuchek kukupa hata hi au kuomba kurudi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…