Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasikitisha sanaWatumishi tujitahidi kutoka nje ya kifungo/utumwa.
Mtapandaje madaraja wakati hela zinaelekezwa Zanzibar!Natumaini mpaka sasa wengi mmeshapata mshahara,vp mmekuta mabadiriko yoyote hususani wale mnaopanda madaraja?
Halafu Zanzibar wamelipwa kabla ya Eid (tarehe 17), jiulizeni jeuri ya kuwalipa wafanyakazi katikati ya mwezi inatoka wapi!, kama sio shauli ya fedha za jasho na damu ya watanganyika.Mbona mshahara bila bila😸