Investor 1
Senior Member
- May 4, 2022
- 106
- 206
Hahaha! Sawa mkuu!Subilia uanze mbona unaharaka mnooo.
Naona vipande vyake (units) vinaenda vizuri. Kwa sasa unaweza kuwekeza kupitia CRDB na M-PESA tu. Mitandao mingine haikubaliKuna huu mfuko unaotarajia kuanza hivi karibuni Faida Fund ambao ni kama UTT, mwenye taarifa zaidi atujukishe kuhusu huu mfuko Faida Fund.
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Wako vizuri. Ikiendelea namna hii itakuwa fursa nzuri. Mtu anaweza kuwekeza hata elfu 5FAIDA FUND kipande kimoja kimefika Tzs 101.
Aliyenunua vipande 10,000 amepata capital gain ya Tzs 10,000
Kima Cha chini ni Tzs 10,000Wako vizuri. Ikiendelea namna hii itakuwa fursa nzuri. Mtu anaweza kuwekeza hata elfu 5
Unaanza na elfu kumi kama kianzio halafu unaweza kuwekeza kuanzia elfu tano baada ya hapoKima Cha chini ni Tzs 10,000
Yes linawezekanaUnaanza na elfu kumi kama kianzio halafu unaweza kuwekeza kuanzia elfu tano baada ya hapo
Profits gain ni kiasi gani baada ya miezi 3 mfano ukiweka 10000Kima Cha chini ni Tzs 10,000
Link ya nnNipeni link niingie wakuu niichuguze
Ukiweka 10000 baada ya miezi mitatu unapata profits gain kiasi ganiNaona vipande vyake (units) vinaenda vizuri. Kwa sasa unaweza kuwekeza kupitia CRDB na M-PESA tu. Mitandao mingine haikubali
Capital gain Kwa mwaka ni approximately 8%-14%Ukiweka 10000 baada ya miezi mitatu unapata profits gain kiasi gani
Kwa mwaka ni approximately 8% to 14%Profits gain ni kiasi gani baada ya miezi 3 mfano ukiweka 10000
OkKwa mwaka ni approximately 8% to 14%
Uwekezaji huu unahitaji long term consistency and focus, ili upate matokeo mazuri inabidi uwekeze mara kwa mara na uwe mvumilivu atleast five years.Ukiweka 10000 baada ya miezi mitatu unapata profits gain kiasi gani