Tupeane ujuzi kuhusu Dar-es-salaam stock exchange DSE

Tupeane ujuzi kuhusu Dar-es-salaam stock exchange DSE

92Ubuntu

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2014
Posts
313
Reaction score
367
Soko la hisa Tanzania kwenye miaka hii ya karibun nimeona linaanza kushamiri kwa kasi kubwa sana, huku elimu ya kuhusu soko hili la hisa kwa mlaji likiwa bado linasua sua.

Mwananchi wa kawaida ambaye ndie hasa mlengwa anawezaje kuwa na yeye na umiliki wa Hisa na kumletea Faida.
Tujuzane kwa walio Ingia kwenye kwenye system.
 
Back
Top Bottom