Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Wakuu hii simu inaniumiza kichwa nimejitahidi kuitafutia ufumbuzi wa hili tatizo lakini bado sijaweza kufanikiwa
Ina CPU ya Qualicomm nimejaribu kutumia NCK but nothing changed
Kama kuna mtu alishawahi kukumbana na tatizo kama hili kwenye simu hizi za kijapan akafanikiwa kutatua naomba tupeane ideas
Ina CPU ya Qualicomm nimejaribu kutumia NCK but nothing changed
Kama kuna mtu alishawahi kukumbana na tatizo kama hili kwenye simu hizi za kijapan akafanikiwa kutatua naomba tupeane ideas