Tupeane update za machimbo ya madini nyanda za juu kusini

Jimmy son

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2022
Posts
709
Reaction score
1,307
Wadau mimi ni mchimbaji mdogo kutoka Kanda ya ziwa pia nafanya biashara, mwaka 2021 nilitembelea chunya, tunduru na mbinga katika harakat I za kazi yangu kabla ya kurudi mwanza kwa masuala ya kifamilia,
Nataka nirudi tunduru au mbinga tena, nauliza ni machimbo yapi tana population kubwa, mara ya mwisho nilikuwa mbwenkulu palikuwa na watu wengi sana ,nauliza chimbo lipi ni zuri kwa biashara pia shughuli za uchimbaji
 
Kila la kheri mkuu,mwenyezi mungu atakusimamia usikate tamaa tu.

hata km 1 ilianza na hatu 1 ulikumbuke hilo mara zote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…