Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
Hali ya mtandao imekuwa ya kususua tunaenda karibia wiki ya tatu sasa. Ni shida kuingia katika baadhi ya sites kiasi kwamba inabidi utumie vipi.
Pia soma: Historia ni mwalimu mzuri, msiseme sikuwaambia!
Wale ambao kazi zetu zinategemea uwepo wa mtandao kwa sehemu kubwa zinaathirika vibaya, lakini hata kama shughuli zako hazihusishi mambo ya mtandao kwa kiasi kikubwa bado utapata athari hizi hasa upande wa mawasiliano na kupata taarifa.
Pia soma: Shida ya mtandao inayoendelea nchini tatizo ni nini? Serikali mpo kimya kampuni za mitandao mpo kimya! Sasa nani ana majibu?
Tupeane updates za hali ya mtandao sehemu tulipo huenda itasaidia kupata namna na kuepuka adha hizi na wale wataalamu wa VPN washauri VPN nzuri za kutumia ili michakato iende.
Hali ya mtandao imekuwa ya kususua tunaenda karibia wiki ya tatu sasa. Ni shida kuingia katika baadhi ya sites kiasi kwamba inabidi utumie vipi.
Pia soma: Historia ni mwalimu mzuri, msiseme sikuwaambia!
Wale ambao kazi zetu zinategemea uwepo wa mtandao kwa sehemu kubwa zinaathirika vibaya, lakini hata kama shughuli zako hazihusishi mambo ya mtandao kwa kiasi kikubwa bado utapata athari hizi hasa upande wa mawasiliano na kupata taarifa.
Pia soma: Shida ya mtandao inayoendelea nchini tatizo ni nini? Serikali mpo kimya kampuni za mitandao mpo kimya! Sasa nani ana majibu?
Tupeane updates za hali ya mtandao sehemu tulipo huenda itasaidia kupata namna na kuepuka adha hizi na wale wataalamu wa VPN washauri VPN nzuri za kutumia ili michakato iende.