Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
Unajua njia wanayotumia kutupunguza mkuu ahahaha daah ayaa lakiniLaleni mapema kesho msichelewe
sjajua mkuuUnajua njia wanayotumia kutupunguza mkuu ahahaha daah ayaa lakini
Ni aibu mkuu sio kwa haya mabio daahsjajua mkuu
kwa idadi hii ndo waone operamini yanguπ π π π π acha nifungue dukaHapa mbeya wasailiwa wapo 1000 wanaohitajika ni 28 tuu.
umasikini ni mbaya sana ndugu zangukwa idadi hii ndo waone operamini yanguπ π π π π acha nifungue duka
Sana Leo wakati wanakimbia wamezimia kadhaa na Bado hapo hujapata hata harufu ya kazi.umasikini ni mbaya sana ndugu zangu
Mkuu hivi wanakimbia kwa mfumo wa kushindana au wabakimbia taratibu muda mrefu waone watakaochoka(mabio)ndo wapunguzwe au wakwanza ndo anachukuliwa na what if aliyekidhi vigezo karibu vyote akawa na mbio za kiasi asiwe wa kwanza na mwenye matokeo ya chini na mfupi akawa wa Kwanzaa?Sana Leo wakati wanakimbia wamezimia kadhaa na Bado hapo hujapata hata harufu ya kazi
Acha masihara mkuuπHapa mbeya wasailiwa wapo 1000 wanaohitajika ni 28 tuu.
Kama vyote ni vigezo si inabidi ufaulu vyoteMkuu hivi wanakimbia kwa mfumo wa kushindana au wabakimbia taratibu muda mrefu waone watakaochoka(mabio)ndo wapunguzwe au wakwanza ndo anachukuliwa na what if aliyekidhi vigezo karibu vyote akawa na mbio za kiasi asiwe wa kwanza na mwenye matokeo ya chini na mfupi akawa wa Kwanzaa?
Live man hakuna masiharaAcha masihara mkuuπ
Wanakimbia taratb tu ilimradi umalize round.Mkuu hivi wanakimbia kwa mfumo wa kushindana au wabakimbia taratibu muda mrefu waone watakaochoka(mabio)ndo wapunguzwe au wakwanza ndo anachukuliwa na what if aliyekidhi vigezo karibu vyote akawa na mbio za kiasi asiwe wa kwanza na mwenye matokeo ya chini na mfupi akawa wa Kwanzaa?
mkuu hutak waone operamini yakoππππkwa idadi hii ndo waone operamini yanguπ π π π π acha nifungue duka
Mkuu umeona bora ufungue biashara sioπ€£π€£π€£π€£kwa idadi hii ndo waone operamini yanguπ π π π π acha nifungue duka
Mh sijajua kwa maeneo mengine ila huku kgm wat wamekimbia mfumo wa kushindan group la wat 100 wanachukua 30Wanakimbia taratb tu ilimradi umalize round.
DuuhMh sijajua kwa maeneo mengine ila huku kgm wat wamekimbia mfumo wa kushindan group la wat 100 wanachukua 30
wanawake na wanaume pamoja?Mh sijajua kwa maeneo mengine ila huku kgm wat wamekimbia mfumo wa kushindan group la wat 100 wanachukua 30
Yah askari unapata wapi mda wa kunyoa manyovuAaah kubabake haya mavuzi sinyoi.. UBAYA UBWELA HALAFU SICHEKI KAUZU ZAIDI YA DAGAA
It's not gud, yan unafany kila kitu gud, moyoni unajisema nishatoboa Alf majina yanatoka haupo. Makamanda msijiwekee asilimia 100 ya kufaulu man mpo wengi ila Pambanine mwanzo mwishoKurasini leo wengi ni kukumbia Vijana wako fit sana, ksma sio limitation ya idadi, vijana wangeenda wote.