Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

Sana Leo wakati wanakimbia wamezimia kadhaa na Bado hapo hujapata hata harufu ya kazi
Mkuu hivi wanakimbia kwa mfumo wa kushindana au wabakimbia taratibu muda mrefu waone watakaochoka(mabio)ndo wapunguzwe au wakwanza ndo anachukuliwa na what if aliyekidhi vigezo karibu vyote akawa na mbio za kiasi asiwe wa kwanza na mwenye matokeo ya chini na mfupi akawa wa Kwanzaa?
 
Kama vyote ni vigezo si inabidi ufaulu vyote
 
Wanakimbia taratb tu ilimradi umalize round.
 
kwa idadi hii ndo waone operamini yanguπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… acha nifungue duka
mkuu hutak waone operamini yakoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
kwa idadi hii ndo waone operamini yanguπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… acha nifungue duka
Mkuu umeona bora ufungue biashara sio🀣🀣🀣🀣
 
Wakuu yaani mchekecho utakuwepo wakutosha ila msikate tamaa, maana mpo wengi asa lzm mpunguzwe by any means
 
Kurasini leo wengi ni kukumbia Vijana wako fit sana, ksma sio limitation ya idadi, vijana wangeenda wote.
It's not gud, yan unafany kila kitu gud, moyoni unajisema nishatoboa Alf majina yanatoka haupo. Makamanda msijiwekee asilimia 100 ya kufaulu man mpo wengi ila Pambanine mwanzo mwisho
 
Kimewaka hapa mbeya .
 

Attachments

  • PXL_20240730_081933937.jpg
    561.5 KB · Views: 21
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…