Tupeane updates za mwenendo wa mvua za VULI hapo ulipo

Tupeane updates za mwenendo wa mvua za VULI hapo ulipo

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Ni kwa yale maeneo ambayo huwa mmezoea kupata mvua mara mbili kwa mwaka mikoa ya pwani ya mashariki, pwani ya kusini, kaskazini na kanda ya ziwa hali ipoje TMA majuzi walitabiri mwaka huu zitanyesha chini ya wastani zitaanza kwq kususua.vipi zimeshaanza week la mwisho la august?kwa ujumla kupoje kuna joto au ubaridi?
 
Ni kwa yale maeneo ambayo huwa mmezoea kupata mvua mara mbili kwa mwaka mikos ta pwani ya mashariki, pwani ya kusini, kaskazini na kanda ya ziwa hali ipoje TMA majuzi walitabiri mwaka huu zitanyesha chini ya wastani zitaanza kwq kususua.vipi zimeshaanza week la mwisho la august?kwa ujumla kupoje kuna joto au ubaridi?
huku tarime ilitakiwa kunyesha tangu mwisho wa mwezi july ili tupande mtama hadi sasa bilabila mkuu
tunaitamani sana.msimu wa mtama ndo unaishia hivi, so ikinyesha kati ya wiki hii au ijayo itapendeza
 
Back
Top Bottom