Tupeane uzoefu kuhusu mwajiriwa ambaye pia anafanya biashara ya ufundi bomba

x - mas

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
931
Reaction score
612
Habari wanajamvi,

Ikiwa mtu ni mwajiriwa serikalini ambaye anatoka kazini saa tisa na nusu jioni lakini pia mtu huyo ni fundi bomba wa kujitegemea.

Je, mtu huyo anaweza akatumia mbinu zipi kufanikisha shughuli zake bila kuleta athari kataka moja ya shughuli zake hizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…