Baba Mama
Senior Member
- Apr 1, 2018
- 107
- 138
Utukufu kwa Mungu, wa uzima na wokofu!
Wapendwa wana jamii.
Maisha yana michakato mingi sana. Na ndani ya maisha kuna wapendwa wetu kwa namna moja ama nyingine huwa ni nguzo kuu ya kutusaidia kujenga maisha yaliyo bora kwa vizazi hadi vizazi.
Kwa bahati mbaya sana, ama kwa makusudi ya Mungu wa uzima na wokofu wapendwa hawa hututoka machoni petu, hutangulia mbele ya haki.
Sasa, ni heshima na utukufu kwa Mungu kuwaenzi watu hawa, maana kupitia kwao ndipo milango ya ufahamu kuhusu Ulimwengu zilifunguliwa.
Ni vema pia, kukumbuka kuwa safari yetu ni moja. Tunazaliwa na tunakufa kwa wakati Mungu Muumba aliokusudia.
Naomba tupeane ushauri wa hapa na pale, Je, ni namna gani bora ama ifaayo kuwaenzi wapendwa wetu hawa?
Kipekee, naomba kumualika Mshana Jr
Wapendwa wana jamii.
Maisha yana michakato mingi sana. Na ndani ya maisha kuna wapendwa wetu kwa namna moja ama nyingine huwa ni nguzo kuu ya kutusaidia kujenga maisha yaliyo bora kwa vizazi hadi vizazi.
Kwa bahati mbaya sana, ama kwa makusudi ya Mungu wa uzima na wokofu wapendwa hawa hututoka machoni petu, hutangulia mbele ya haki.
Sasa, ni heshima na utukufu kwa Mungu kuwaenzi watu hawa, maana kupitia kwao ndipo milango ya ufahamu kuhusu Ulimwengu zilifunguliwa.
Ni vema pia, kukumbuka kuwa safari yetu ni moja. Tunazaliwa na tunakufa kwa wakati Mungu Muumba aliokusudia.
Naomba tupeane ushauri wa hapa na pale, Je, ni namna gani bora ama ifaayo kuwaenzi wapendwa wetu hawa?
Kipekee, naomba kumualika Mshana Jr