Tupeane uzoefu wa zao la Korosho wakati wa kupiga madawa

ndanda masasi

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2014
Posts
772
Reaction score
1,177
Mimi nimeanza na Kiuadudu 'Suba Chlo 55EC+' yenye viambajo Aminifu
1. Chlorpyifios 50%
2. Cypemethrin 5.0%
3. Inert ingredients 52.0%

Nilichanganya na 'MULTI-TRIACARB 500SC' yenye Viambajo Aminifu
1. Triadimenol 25%
2. Carbendalzim 25%
3. Inert ingredients 100%

Baada siku tatu nikapuliza Sulphur.

Je wewe kwako umefanya je
 
Mimi nimeanza na Kiuadudu 'Suba Chlo 55EC+' yenye viambajo Aminifu
1. Chlorpyifios 50%
2. Cypemethrin 5.0%
3. Inert ingredients 52.0%

Nilichanganya na 'MULTI-TRIACARB 500SC' yenye Viambajo Aminifu
1. Triadimenol 25%
2. Carbendalzim 25%
3. Inert ingredients 100%

Baada siku tatu nikapuliza Sulphur.

Je wewe kwako umefanya je
 
Mimi nimepuliza Duduba yenye cypermerthrin 10% na chlorpyrifos35% nikachanganya na yara Vita tracel Bz yenye madini mbalimbali muhimu pamoja na weter ya supergro after two weeks narudia kwa kuongezea hexavil au movil ya ukungu.
 
Kumbe korosho kaazi kweli kweli
 
Hongereni kwa kulima Korosho,zikianza kuzaa hizo umasikini kwaheri..
 
Jamani hivi waweza kupanda miche mingapi kwenye ekari moja, nami pia nataka kufanya kilimo cha Korosho, naomba munipe uzoefu kwa Wale ambao mulishaanza tayari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…