Twafafanua upendo nana gani?
Imeandikwa, 1Wakorintho13:4-7 "Upendo
huvumilia, hufadhili, upendo hausudu;
upendo hautabakari; haujivuni; haukosi
kuwa na adabu; hautafuti ambo yake;
hauoni uchungu hauhesabu mabaya
haufurahii udhalimu bali hufurahi pamoja
na kweli huvumilia yote; huamini yote
hutumaini yote hustahimili yote; upendo
haupungui neno wakati wo wote bali
ukiwapo unabii utabatilika zikuwapo lugha
zitakoma yakiwapo maarifa yatabatilika kwa
maana tuna fahamu kwa sehemu na
tunafanya unabii kwa sehemu."