tupendane kwa namna hii, ilindoa zetu zijae faraja

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Twafafanua upendo nana gani?
Imeandikwa, 1Wakorintho13:4-7 "Upendo
huvumilia, hufadhili, upendo hausudu;
upendo hautabakari; haujivuni; haukosi
kuwa na adabu; hautafuti ambo yake;
hauoni uchungu hauhesabu mabaya
haufurahii udhalimu bali hufurahi pamoja
na kweli huvumilia yote; huamini yote
hutumaini yote hustahimili yote; upendo
haupungui neno wakati wo wote bali
ukiwapo unabii utabatilika zikuwapo lugha
zitakoma yakiwapo maarifa yatabatilika kwa
maana tuna fahamu kwa sehemu na
tunafanya unabii kwa sehemu."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…