Tupendane: Matukio 08 wakristo,wayahudi na waislamu waliyookoana ktk mazingira usiyotarajia

HHili ni funzo boa kabisa.
 
yani lipo moja kubwa ambalo katu halitotajwa kwa kuwa watu wako na malengo ya kuwatenganisha wadamu kutoka ktk asili yao ya utu na kupenda ili tu wao wapate kusimamisha imani zao ambazo hata yesu na muhammad hawajawahi zifundisha.
subiri mtawaona.
 
nimeipenda hii makala;kw nn ss hatuwezi kuendelea kuishi kwa upendo na amani tena kama zama hizo?hata kama chanzo ni wanasiasa,kwani wao hawana dini?
 
nimeipenda hii makala;kw nn ss hatuwezi kuendelea kuishi kwa upendo na amani tena kama zama hizo?hata kama chanzo ni wanasiasa,kwani wao hawana dini?
Historia inaonyesha hata Jerusalem ilipokuwa chini ya Islamic calphate, caliph Umar aliwataka waislam wawavutie wakristo nawayahudi wakati huo kuhamia uislam kwa kuishi maisha ya mfano sio nguvu. Hivyo kila mtu aliendelea na dini yake, kwa amani tena wakilipishwa kodi kidogo kuliko mtawala aliyekuwepo. Kuishi kwa amani za kidini kumekuwepo tangu zamani sana. Lakini siku za hivi karibuni dini zimeingiliwa na watu au vikundi vyenye malengo binafsi ya kimaslahi,siasa etc.
Ni kazi yetu kuomba amani na upendo huku tukikosoana katika tofauti zetu za kidini kwa amani upendo na uvumilivu wote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…