Kaka, Arushaone alikuwa mume wangu kabisa
Baada ya kusafiri ndo akampata Lady doctor.
Narudi safari, nakuta wamefunga ndoa
Ila mahari ya Ben Saanane sijawahi yaona aise nianze sijui kudai
Yangu macho!!!
Mamndenyi mpendwa, I hate nobody but I hate dirty games!!
Mie ndio nilimuacha mchana kweupeeeee pe!!!!!
Kuna yale yanayotengenezwaga na wamasai pale kariakoo! aisee ni noma mvaaji wa hayo mabomu sharti awe makini sana na matumizi yake..
tusameheane tu kiroho sani,
halafu jumapili usiache kuja church pastor nakusubiri
hahahaaa......... Madame B naona karoho kanakuuma kweli, kama vipi tubadilishane na Ben Saanane
Ni pale niliposimamishwa kazi !
Ndo nikawa sifai!
Btw nimeshapata kazi nyingine , yenye income kuzidi ya awali .
Atafaidi huyu mpya nilienae .
Swali la nyongeza ........
Anza kujidai binamu.
Utaila sana