mhh shemegi unaozesha hata hunambiii...........dizaini za ushoga kazi sio nzuri shem umenikwaza******:frown::frown:
tusameheane tu kiroho sani,
​ndio babu..........mimi ndo wa kwanza kusamehe kati ya woteMarhaba.
Vipi wewe umeshasemehe??
kashakuja muone hapo juu...
safi sana dada angu now ni mahaba tu yatawale humu ndani
hivi huyo penguin kwenye avatar yako huwa hachoki kuchezea keyboard?
​ndio babu..........mimi ndo wa kwanza kusamehe kati ya wote