Shem msamehe...
Kashamsamehe tayari!!
mambo sasa ni poa kabisa..
​ha ha ha shem umeninyima send off ya mdogo wakoKifo cha Sengodo Mvungi.
ha ha ha ha ha!
umenichekesha sana.
mwenzio kule hadi nikuone wewe shem......hv hv sisikii raha hata kidogo na shogayo Evelyn Salt naye amepasusa aaghrrr nyumban hakunogi walai:faint2:
ulikuwa hujui???Hivi kumbe haka kashindano kuna watu walikwaruzana...mmmh!!!
​ha ha ha shem umeninyima send off ya mdogo wako
Hata mie ulinikwaza!
Hebu tutafute chaka lolote , ama nyumba inayoendelea kujengwa tukakae tuambizane tunasameheanaje!
​asante shem i love you again...................Jamani wewe ni free pass.
Usione soo sasa! sema nae, umalize maumivu yako!!
bt i'm not sure kama dini ya Arushaone inaruhusu kuwa na zaidi ya mmoja..