​asante shem i love you again...................
Aaaaah! Sitii neno hapo.
Kaka, Arushaone alikuwa mume wangu kabisa
Baada ya kusafiri ndo akampata Lady doctor.
Narudi safari, nakuta wamefunga ndoa
​haya nimefumba shem niulize haraka bhasI love you too.
Shem, fumba macho nikuulize kitu....
Ha ha haa
Ulinidis sana ila nimeshasahau;
Chaka ha ha haaa huogopi snake weye,
shauri zako.
jamani pole sana! hukuwa na updates zozote zile ndiyo maana ukazidiwa. pole na watumie kina Ben vizuri
Judgment hajali umbali wa goli hata kama goli lingekuwa na ukubwa wa unyayo wa mguu kwake penalty lazima iende Madame B kaa mbali nae au sivyo utajikuta unawatukana akina Ben Saananeha ha ha ha! kwa hiyo anamaliza regardles magoli yana upana gani!
Niogope snake ! Na ndo juzi nimetoka Drc , baada ya kumaliza zamu kwenye kulinda amani .
Snake vs M23 mkali nani ?
Staki unijibu , coz najua wajua jibu .
Ngoja mie niendelee ku'search Fursa .
​haya nimefumba shem niulize haraka bhas
Judgment hajali umbali wa goli hata kama goli lingekuwa na ukubwa wa unyayo wa mguu kwake penalty lazima iende Madame B kaa mbali nae au sivyo utajikuta unawatukana akina Ben Saanane
ha ha ha ha! hayo yakiuoni utayatumiaje ukiwa mbali? ni ya rangi gani kwani, cheki yasilipuke