wakomong'we
Member
- Oct 28, 2011
- 30
- 2
Ndugu wana Board habarini za weekend,Leo nimekuja na pendekezo moja kwamba ni kwa nini serikali yetu isijipange kuwashawishi wajapan na serikali yao kuweka soko la magari yao used hapa Dar,kutokana kwamba nchi nyingi za Africa zinanunua haya magari kwa wingi sana,hoja yangu hapa ni kuifanya Dar iwe kama kitovu cha kuuzia haya magari kwa nchi zote au zilizo nyingi barani Africa.Ambapo kupitia hili serikali itakusanya kodi zaidi na zaidi na kuzifanya bandari zetu kuwa more competitive.Huu ni mtazamo wangu sijui nyie wadau mnaonaje.ASANTENI SANA.