Mawazo gani haya sasa? wewe huna habari baadhi a Nchi za Africa, magari used hayaruhusiwi? kwa hiyo unataka Tanzania iwe Dampo la magari kutoka Japan? Nchi kama South, Nigeria na zinginezo wao magari used si dhani kama uanaruhusiwa,
Wewe badala ya kusema wajenge kiwanda cha Kuunganisha Vipuri wewe unagubiri Duka la kuyauzia, Ingawa hata kwa Kiwanda ni ngumu sana kwa sababu tiyali Toyota, Nisan, Tdi, na makampuni mengine wana viwanda vyao south Africa,