Said BARGHASH
Member
- Jul 15, 2013
- 9
- 1
Mimi nimempata wangu humu..!
hongera, vp mshafunga pingu?
ya ukweli hayo!
Mimi nimempata wangu humu..!
nilikutana na changamoto za kutosha.
Nilikutana na applications nyingi.
Nilikutana na ugumu wa kufanya maamuzi thabiti.
Nilitukanwa, nili nuniwa, nilidhihakiwa and ect.
Kwahakika nilikutana na wakati mgumu kiujumla, na nashukuru mungu nimempata mdada wa haja ya moyo wangu.
Nilikutana na changamoto z
a kutosha.
Nilikutana na applications nyingi.
Nilikutana na ugumu wa kufanya maamuzi thabiti.
Nilitukanwa, nili nuniwa, nilidhihakiwa and ect.
Kwahakika nilikutana na wakati mgumu kiujumla, na nashukuru mungu NIMEMPATA mdada wa haja ya moyo wangu.