Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Hivi nani anaijua Historia haswa ya ule Mbuyu wa pale ‘Mbuyuni’ kona ya kwenda Oysterbay/Masaki.
Maana inashangaza vile umekaa katikati ya Barabara na haujawahi kukatwa!!
Sahizi mwendokasi nao wanaukwepa kuukata sasa sijui watapitisha wapi Barabara yao?
Maana inashangaza vile umekaa katikati ya Barabara na haujawahi kukatwa!!
Sahizi mwendokasi nao wanaukwepa kuukata sasa sijui watapitisha wapi Barabara yao?