miti mikubwa kama hiyo mfano miembe,mkorosho na mbuyu inayobeba majina ya eneo ukisikia panaitwa labda mkoroshini,mwembeni au mbuyuni hizo sio sehemu za kawaida kuwa ni vilinge vikubwa sana vya wale wa upande wa giza pia ni madhabau za kuzimu..ndiomaana wachina wakiwa wanajenga barabara na wakataka kukata huo mbuyuni au mwembeni kabla ya kukata lazima wafanye kafara kubwa au zindiko kubwa ndio waukate ila wakiona ni pazito wanapaacha kama kulivyo maana ni hatari..haya mambo yapo kiroho zaidi sio rahisi kuelewa kwa akili na macho ya kawaida..nyie endeleeni kusema tu ni kivutio cha utalii sijui kupendezesha mazingira hayo mengine yapo nje ya upeo wetu.!