Tunafahamu kuwa mtoto anapozaliwa lazima alie(cry) ili kuamsha mfumo wake wa upumuaji pamoja na sababu nyingine za kimaumbile kama zipo.
Swali; ni mechanism au coordination gani inayofanyika katika mwili wa kiumbe huyo unao-trigger kulia kwa mtoto?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.