Mimi Kuna Huu:
...msichanaa wa suraa nzuri,....kitu gani kinakufanya usiolewe.
Elimu unayo ya kutosha,....hata ng'ambo ukaenda ukarudi.
Ona watoto wa nyuma yako,wameolewa wamekuacha ukihangaika...
Yaani nikiusikia huu mwimbo,nafreeze ghafla,cjui kwa nini.
mungu ibariki afrika
Wabariki viongozi wake
Heshima umoja na amani
Hizi ni ngao zetu afrika na watu wake
Ibariki, afrika, ibariki, afrika
Tubariki watoto wa aafrika...