tupia baadhi ya maneno ya nyimbo za zamani.(lyrics)a.k.a ''zilipendwa''

hidaya hidaya.........
Umeondoka na kipenzi chamgu cha pekee......
 
Mtoto wa get mtoto wa kishua,kwao masaki anapata vitu lainilaini,vyuku chips Mayai,akija kwetu anakuta ugali wa kulumangia na kachumbari,choo passport size.
by inspector harun
Yuko wapi huyu jamaa sikuhizi?Mara ya mwisho nimemuona kino studio anasubiri dala dala
 
Zuwena zuwena kweli nampenda,
mtoto aliyeumbika, tabia za kupendeza..
Zuwena zuwena kweli nampenda.
 
ili tuendeleee twahitaji vitu vinne
watu, ardhi, siasa safi na uongozi bora
shikamooo mwalimu!
 
mabata madogo dogo yanaogelea yanaogelea
katika shamba zuri la bustani * 2

yanapenda kulia kwakwakwaaaa kwakwaaaaa

kwakwaaa kakwaaaa kakwaaaaaa kakwaaaaaa
 
"Chaupele mpenzi hayo usemayo, kama ni maradhi yapeleke kwa daktari. wanambia me niache rumba na mimi sikuzoea, ctaweza kuiacha rhumba kwa sababu yako"
"kama wanipenda twende kwa wazazi wakishakuona utoe mahari unioe" this is special dedikeshen to my sweetie!
 
Nimeishi na wazazi wangu,nikiwa bado mwanafunzi
Sikuwahi kuishi peke yangu,bila kuwa na wazazi wangu
Baada ya kumaliza masomo,nilipata kazi,
Wazazi wangu walinihusia,jinsi ya kuishi na walimwengu,
Ya kuwa niwe na heshima kwa mkubwa na mdogo,
Hayo ndio mafanikio ya maisha yangu ya baadaye...

 
Last edited by a moderator:

Kwa kumpenda mtoto wa kicolored,bambadi uso soft usio chunusi natural color chotara mng'avung'avu mweusi maji ya kunde kaenda hewani sekunde,kwao obay oysterbay masaki binti huyo mtanashati,kila akitaka gari ana-change korando royce rolls range mara mercedec benzi wakati msela kabwela kaj**ba nani kwetu uswahili temeke mikoroshini sina hata baiskeli wakati kumtell live naona imposible naona gozi gozi,msosi wa draft mboga saba kujisevia kwetu ngangari dona bamia...weeeeeeeeeee!!!
 
Mwaaalimu kumekucha ee,amka uende shule,jiepushe na uvivuuu ulijeenge Taifaa.Mkuliima,kumekuchaa ee amka uende shamba jieepushe na uvivu. . . .
 
"usinione ***** babaaa karubandika eeeh kwakukubali wito wako karubandikaaa"
 
"sasaa nimeamia mtaa wa saba toka pale nilipo kuwa mikikaaga zamani ile nyumba sio nyumba ilikuwa na vitukoo"
 
"kuleni kuku mayai vya kuujengu mwili na kujenga nyumba safi pa kulala pawe bora"
 
Uu mama,uuye, sina kosa limojawapo,nateseka, nakuwaza,waza wewe binadamu,mamaa, nakuwaza wewe Na:Yondo Sister
 
Sina makosa wee bwana,wataka kuniua buree bwanaa
Yule si wako nami si wangu,chuki ya nini kati yangu mimi na wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…