Tupia clip yako ku show love!

Dogo huyu wiki kama tatu zilizopita nilikutana naye Airport Dar es Salaam anasindikizwa na mama yake.
Ilikuwa ni Ijumaa Mchana mida ya saa nane hivi.....
Anependa sana kuvaa miwani na jinsi zinazobanaa sana mapaja.....
Halafu ni Momaza Boy sana......
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…