Tupia jina la memba mmoja wa JF ambaye katoweka humu

Malaria sugu ...nilikuwa napenda malalamiko yake[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Wajameni.. Mie Rubii wangu tu.!
Yaani amepotea humu mpaka nakosa furaha kabisa,
Najiuliza sijui wamemuoa au labda naye katumbuliwa kwenye vyeti feki.?
Yaani nakosa furaha kabisa!
Mwingine ni huyu mdada anayeitwaga mchepuko wa mkulu, miss chagga @ Haven on earth
 
Mwita Maranya,
Echilima ( msimulizi Wa vita ya Kagera)
Waberoya
Rizone
Kibo10
Nkusweke
Fakalava
 
Padri mcharo
Wimsha
The Connor
The boss
espy ( mic u)
Preta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…