Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Kuna mshefa ana visima vya mafuta aliniputa ngoma hapa.
Nilikuwa radhi kuvaa kanzu kwenda Zenji nikasome kisomo na kula mpunga wa biriani la zaidi ya "Passing Show".
Nilikuwa namwambia, "Nyumbani si wanawajua Makomredi? Basi utawaambia tu huyu anavaa kanzu lakini Komredi".
U crazy son. I open the door only once a week to check my mail.Hahahaa damn son!
I thought you got game.
How you let someone do you like that? Bad look son! Hahaaaa.
Btw, just touched down in yo city.
Where ya at? That Rona still got you cooped up in yo basement?
I’m on my NY state of mind right now. Yankee hat🧢 on, Timbs and all that 😃.
Where ya at man? Stop hiding...come out son.
View attachment 1461645View attachment 1461646
Weeeh jamaa upo kweli ?Nipo sana kamanda,habari za siku muzee....
Jamaa sijui yuko wapi
kabadili ID mkuu
Popote alipo huyu mtu anatafutwa ...Nina RB yako tafadhali.Curiousgal
Huyu yuko Jela miaka mingi kwa kesi ya utapeli.Ishmael