Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
[emoji23][emoji23][emoji23] noma sana
Jamii forum imejaa watu wasio julikana kina mtwa mkulu , King Kong III Mwifwa wote Ni watu hawajulikani hata Nyani Ngabu Sky Eclat wote hawajulikaniRoma: Nasikia Walimpiga,ni kina nani na nini alifanya?
Stamina: Mwalimu Sijui ni Watu wasiojulikana.
Roma:Waliompiga Risasi Lissu?
Stamina:Ni watu wasijulikana
Roma:Ni Kina nani Waliomteka Roma
Stamina:NI watu wasijulikana
Roma:Ni Kina nani wanaoteka waandishi wa habari?
Stamina: Ehee Mwalimu SIjui ni watu wasiojulikana.
Hata Kabinti ka ludilo nako hakajulikani 😀😀😀😀.Jamii forum imejaa watu wasio julikana kina mtwa mkulu , King Kong III Mwifwa wote Ni watu hawajulikani hata Nyani Ngabu Sky Eclat wote hawajulikani
Mke wangu lakini huyo
Ulibahatika kupanda na mojawapo ya range rover zake au Ford renger
Hahahaaa Kumbe Anajulikana.Mke wangu lakini huyo
Tafadhali [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Me nawe tunafahamiana kweli????Na mpenzi wangu zeshchriss tu.
MsimsumbueHahahaaa Kumbe Anajulikana.
Mimi nafahamiana na BehaviouristMimi nafahamiana na Atoto![emoji6][emoji6][emoji6]
Ex darling hata mimi unanikana?
Najitengenezea ulinzi maana wananzengo bana hawakawii.Tafadhali [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Me nawe tunafahamiana kweli????
, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Najitengenezea ulinzi maana wananzengo bana hawakawii.
Hivi unafahamu kwamba unanipa tabu sana?, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂ndioo mamyMapacha siyeee
Heheh mtwa mkulu useme nani alikukeep busyYaani usikukucha anachart naamka nakuta huu uzi alikuwa bussy na wewe jamani hii si haki...
Kwanini leo nakupa nafasi ya kueleza unatakaje... Kisha nakufanyia utakachoHivi unafahamu kwamba unanipa tabu sana?
Hapa nitashindwa kukujibu.Kwanini leo nakupa nafasi ya kueleza unatakaje... Kisha nakufanyia utakacho